Posts

USALITI AMA HAKI

 Je unakubaliana na kauli kuwa viongozi wengi wanaosaka mamlaka mwakani lengo lao kuu ni usaliti ama haki? Kwa takriban miaka mingi tangu Kenya kujipa Uhuru na demokrasia ,,viongozi wengi wamekuwa na ubinafsi mamlakani kwa kutumia Mali za Uma vibaya huku wakiwahadaa wananchi kuwa wamo safarini kuendeleza na kudumisha maendeo ya Jamhuri ya Kenya. Hata hivyo asimilia  thelathini Kati yao ,wako katika kuendeleza haki na usawa katika maeneo mbalimbali Taifani.Heko kwa wanaolijenga taifa kupitia njia na miradi yao ili kunufai Uma.  Ni wito mkuu kwa wananchi wenza kuilinda demokrasia ya jumuia yetu kwa kuhakikisha kuwa tunajichagulia viongozi bora watakolitumikia taifa letu kwa njia zifaazo si kujinufai kibanafsi.

HIT THE TABLE DESK💬💬💬

Image
  LOVE OR LUST Get to know your position in someone's heart and find peace with your mind.Let your partner or your fiance be always there and ready for you in whatever the circumstance and in whichever way,that what true love entails. If someone loves you simply because of your nice outfit,nice body shape and being good in bed,but cannot stand a chance of even defending you in public,take a step back and analyse your future.It could probably be lust. Everyone deserves to be loved in the right way by the right person. https://annmapash.blogspot.com/2022/ Hit the table desk and drop a comment on what you think is the best way to identify love and lust,and say something on the above article✍️✍️

Rocking on my table today✍️✍️✍️

 LIFE IS SHORT LETS ALL EMBRACE IT In life we will come across so many people with different virtues, appearance,outfits, different levels,name them.But for us to remain being us and ourselves,let's be self motivated by not who we are but who we want to be and what is within us.Destiny starts within one's own mind.Lets all accept who we are💪,stay positive always 💯💯and stay focus in what we work for,,for at the end of it,, it's what you work and strive for,that will determine your identity and what the society will reflect in you.Meanwhile life is short,,let's all embrace it with all the opportunities that come across us. https://annmapash.blogspot.com/